Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Clémence Ndabohweje, mwenye umri wa miaka 49, akisafisha vyombo nje ya makazi yake kwenye kambi ya wakimbizi ya ndani ya Kanyaruchinya huko Rutshuru jimboni Kivu Kaskazini nchini DRC kufuatia mashambulizi ya M23. Anaishi hapa yeye na watoto wake 6 na waj…
UNICEF/Arlette Bashizi

Hali DRC sasa imefikia pabaya, amani inahitajika haraka: UNICEF Chaiban

Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF anayehusika na shughuli za kibinadamu na operesheni za Ugavi, Ted Chaiban, amehitimisha ziara ya siku tano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, ambako alikutana na mamlaka na kujionea athari mbaya za kuongezeka kwa migogoro kwa watu walio hatarini, haswa wanawake na watoto.