Udadavuzi: Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ni nini?
Uhalifu wa kivita, ubaguzi wa rangi, kuwekwa kizuizini kiholela na ubakaji kutumika kama silaha ya vita haya ni masuala machache tu ya kimataifa ambayo Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa hujadili.