UNFPA yawezesha wanawake na wasichana Zambia kujikwamua dhidi ya ukatili wa kijinsia
Shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu duniani na afya ua uzazi UNFPA linavisidia vituo ambavyo vinawawezesha wanawake na wasichana nchini Zambia kuondokana na mzunguko wa ukatili wa kijinsia.