UDADAVUZI: Fahamu saratani ya shingo ya kizazi
Saratani ya shingo ya kizazi ni saratani ambayo hutokana na mabadiliko ya mfumo wa chembechembe au seli zilizoko katika shingo ya kizazi wengine wakiita mlango wa kizazi.
Saratani ya shingo ya kizazi ni saratani ambayo hutokana na mabadiliko ya mfumo wa chembechembe au seli zilizoko katika shingo ya kizazi wengine wakiita mlango wa kizazi.
Umoja wa Mataifa na wadau wake ulimwenguni wanakabiliana na upotevu mkubwa wa wanyama na mimea, tarehe 23 Januari wanakutana jijini Nairobi, kenya kujadili jinsi ya kuepuka upotevu huo, katika mkutano mkuu ambao utaangazia bioanuwai ni nini, na jinsi gani Umoja wa Mataifa, unaweza kusaidia juhudi za kuwezesha asili kuishi na kustawi.
Mazungumzo ya kimkakati ya ngazi ya juu kati ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania na wadau wa maendeleo yalifanyika nchini humo tarehe 24 mwezi Novemba mwaka jana wa 2023 yakiangazia mwelekeo wa marekebisho ya mfumo wa elimu katika taifa hilo la Afrika Mashariki.
Duniani kote mwaka 2024, watoto wanatarajiwa kuona kuongezeka kwa matukio ya ghasia, vita na matatizo ya kiuchumi, linasema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF), katika utafiti uliotolewa siku ya Jumatatu ya Januari 15, 2024.
Afrika Kusini imeweka wazi kesi yake ikiishutumu Israel kwa kukiuka Mkataba wa Mauaji ya Kimbari, ikiashiria hali ya sasa katika eneo lililozingirwa na kughubikwa na mabomu la Ukanda wa Gaza, ambalo ni makazi ya Wapalestina milioni 2.3.
Mahakama ya kimataifa ya haki ICJ ni moja ya vyombo vikuu sita vya Umoja wa Mataifa na hapa tunakutanabaisha inafanyaje kazi, nani anawasilisha kesi ICJ na je maamuzi yake yana mashiko gani?.
Mabadiliko ya tabianchi yanafanya matukio ya hali mbaya ya hewa kuwa makali zaidi na ya mara kwa mara. Mifumo ya utoaji maonyo mapema ambayo ni sahihi, rahisi kutumia na kutoa taarifa sahihi kuhusu hali ya hewa husaidia kupunguza vifo na hata kupotea kwa njia za kujipatia riziki au kipato.
Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO limetangaza kuwa mwezi wa Januari ni mwezi wa kuhamasisha jamii kuhusu saratani ya shingo ya kizazi. Makala hii inaangazia kuhusu ugonjwa huo, unasababishwa na nini, tiba yake pamoja na jinsi ya kujikinga.
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC inatarajia kufanya uchaguzi mkuu wiki hii tarehe 20 Desemba, ambapo kura zitapigwa kuchagua Rais mpya lakini pia wabunge wa kitaifa, wa majimbo na serikali za mitaa.
Wakati vita ikiendelea kupamba moto huko Gaza na idadi ya vifo vya wanawake na watoto ikiongezeka kila saa, kuhakikisha uwajibikaji wa uhalifu huo ni muhimu sana ili kuzuia ongezeko la manung'uniko amesema hii leo afisa mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa