DARFUR: Kwa vipi imekuwa janga la kibinadamu na mgogoro wa haki za binadamu
Kuzuka kwa mzozo miezi 9 iliyopita nchini Sudan kumesababisha "Muungano wa janga la kibinadamu linalozidi kuwa baya na mgogoro mkubwa wa haki za binadamu", kwa mujibu wa afisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa na eneo la Darfur limeathiriwa vibaya sana.