Askofu Tutu alikuwa mnara wa amani duniani- Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameelezea masikitiko yake kufuatia kifo cha Askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini akimwelezea kuwa “mtu aliyepaza sauti za wasio na sauti bila uoga wowote.”