Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Kuwa na ulemavu siyo ukomo wa maisha.
NICEF/Sebastian Rich

Watu wenye ulemavu Burundi waamua kuutekeleza wito wa UN kwa vitendo 

Nchini Burundi, Dany Kasembe, mwenye ulemavu wa mguu, ameamua kuwashirikisha wenzake katika kuutekeleza wito wa Umoja wa Mataifa kwa vitendo, wito ambao unataka uwepo wa dunia ambayo watu wote wana uwezo wa kupata fursa sawa na pia ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu katika jamii ikiwemo katika hatua za kukabiliana na kujikwamua na janga la corona au COVID-19. 

Programu ya utoaji chanjo kubwa kabisa duniani ilipoanza India Januari 2021.
© UNICEF/Ruhani Kaur

Hofu yaendelea wakati tsunami ya COVID-19 ikighubika India

Mfanyikazi wa Umoja wa Mataifa nchini India ameelezea kuongezeka kwa kiasi kikubwa kwa maambukizi ya virusi vya corona au COVID-19 ambako ni nchini mwaka katika siku za hivi karibuni kama ni "tsunami", na amezungumzia "hofu" aliyohisi, wakati familia yake ya karibu ilipoambukizwa virusi hivyo.