Wakimbizi wa ndani 76 wauawa DRC katika kipindi cha wiki mbili, UNHCR yapaza sauti
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNCHR lina wasiwasi mkubwa kutokana na matukio ya mauaji jimboni Ituri na Kivu Kusini katika wiki mbili zilizopita ambako jumla ya wakimbzi wa ndani 76 wameuawa na makumi kadhaa wamejeruhiwa.