Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Balozi Tijjani Muhammad-Bande na Liu Zhenmin, msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya uchumi na jamii, wakiwa na washiriki wa tukio la kuhitimishwa kwa mwaka wa kimataifa wa lugha za asili mjini
UN Photo/Rick Bajornas)

Lugha za asili bado ni muhimu kwa mustakabali wa ulimwengu-Bande

Lugha za asili bado ni muhimu kwa mustakabali wa ulimwengu hivyo tufanye kila namna kuzitunza, ni moja ya kauli alizozitoa rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Tijjani Muhammad Bande katika  mkutano wa ngazi za juu wa kuhitimisha mwaka wa kimataifa wa lugha za asili uliofanyika hii leo katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York Marekani.