Heko Uganda kwa maandalizi fanisi dhidi ya Ebola- WHO
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la afya ulimwenguni, WHO Dkt. Tedros Ghebreyesus amepongeza hatua zilizochukuliwa na serikali ya Uganda za maandalizi ya kukabiliana na ugonjwa wa Ebola iwapo utalipuka kwenye maeneo hatarishi zaidi nchini humo.