Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Aliyekuwa mkimbizi kutoka DRC, Lubunga Mwendanababo, sasa ni raia wa Marekani.
UN News/Assumpta Massoi

Mnufaika wa mpango wa UNHCR asimulia safari yake kutoka DRC, Tanzania hadi Marekani

Katika mwendelezo wetu wa kupitia taarifa ambazo zilikuwa na uzito wa juu kwa mwaka huu wa 2018, tunakurejesha kwa Lubunga Mwendanababo, mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambaye baada ya kuishi ukimbizi Tanzania, sasa amepata uraia wa Marekani ikiwa ni manufaa ya mpango wa shirika la Umoja wa Mataifa UNHCR la kuwapatia wakimbizi hifadhi kwenye nchi ya tatu. Grace Kaneiya anakurejesha kwenye taarifa hiyo ya tarehe 13 Novemba mwaka 2018.

Sauti
2'29"