Gaza: Azimio la Baraza la Haki za Kibinadamu lataka Israel kuwekewa vikwazo vya silaha
Chombo cha juu kabisa cha haki za binadamu cha Umoja wa Mataifa leo kimepitisha azimio kulaani madai ya "matumizi ya njaa kwa raia kama mbinu ya vita huko Gaza, huku pia kikitoa wito kwa Israel kuwekewa vikwazo vya silaha.”