Gaza: Mapigano makali yanaendelea, watoto wanazaliwa na uzito mdogo na kufunguliwa hospitali
Wakati kukiwa na mapigano makali zaidi yaliyoripotiwa huko Gaza bado, wasaidizi wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa Jumatano walirudia onyo kwamba njaa bado ni tishio la karibu kwa sababu ya vikwazo vya misaada na ukosefu wa upatikanaji salama.