GAZA: Misaada ni haba, nyaya za simu zageuzwa kuni
Wakati mashambulizi ya Israel yakiendelea kushika kasi huko Ukanda wa Gaza na mapigano na makundi yaliyojihami ya kipalestina yakiwa kikwazo kikubwa cha kusambaza misaada ya kibinadamu, Umoja wa Mataifa leo umeonya kwamba jamii inakaribia kusambaratika kabisa watu wakifikia hatua ya kukata nyaya