Methali: "Mwenye kelele hana maneno"
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mkuu wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anachambua methali MWENYE KELELE HANA MANENO.
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mkuu wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anachambua methali MWENYE KELELE HANA MANENO.
Wakati kila kona ya dunia kwa sasa ikiadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, harakati hizo miaka ya 1987 hazikuwa rahisi kueleweka ndani ya baadhi ya jamii kwani mila na destuli ambazo nyingine zilijikita katika mfumo dume ndizo zilizokuwa zimetamalaki.
Umoja wa Mataifa leo umeadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na Watu wa Palestina, katika nyakati ambazo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameziita mojawapo ya nyakati za kiza katika historia ya watu wa Palestina na hivyo akasisitiza mshikamano zaidi na kutafuta suluhu ya kudumu.
Wakati dunia ikiendelea na maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia zilizoanza November 25 na zitafikia ukingoni December 10,2023, juhudi za kukabiliana na makovu yatokanayo na vitendo vya ukatili, unyanyasaji na ubaguzi wa kijinsia zimeanzakuzaa matunda kwa wanawake
Hivi karibuni tulinukuu mashirika ya Umoja wa Mataifa, lile la kuhudumia wakimbizi UNHCR na lile la kuhudumia watoto UNICEF yakielezea wasiwasi wao mkubwa juu ya kushamiri hivi karibuni kwa mzozo wa kibinadamu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC.
Kuelekea mkutano wa 28 wa nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi, COP28 huko Dubai, Falme za kiarabu tarehe 30 mwezi huu wa Novemba, shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO, limesema washiriki wanapaswa waelewe kuwa suala la afya ndilo linapaswa kuchochea majadiliano wa
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amezipongeza serikali za Qatar, Misri na Marekani pamoja na kutambua jukumu muhimu la kamati ya Kimataifa ya chama cha msalaba mwekudu kwa juhudi zao za kuhakikisha mapigano yanasitishwa kwa muda, mateka na wafungwa wanaachiwa pamoja na kuingiza mi