Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

IMF/Esther Ruth Mbabazi

Kuna wasiwasi kuhusu kesi dhidi ya Jaji Kisaakye wa Mahakama Kuu nchini Uganda - UN

Mtaalamu Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu uhuru wa majaji na mawakili Margaret Satterthwaite ameonesha wasiwasi wake mkubwa kuwa kesi za kinidhamu zilizoendeshwa dhidi ya Jaji wa Mahakama Kuu nchini Uganda Esther Kisaakye huenda zikawa sawa na kulipiza kisasi dhidi yake kwa kutekeleza majukumu yake
Sauti
2'25"

30 MACHI 2023

Ni Alhamisi ya tarehe 30 ya  mwezi Machi mwaka 2023, mwezi Machi siku ya kimataifa ya kutotupa taka na ni siku ya mada kwa kina ambayo leo inatupeka Kenya kumulika jitihada za shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO za kumuinua mwanamke mkulima kwa kutumia ubunifu na teknolojia.

Sauti
13'18"