Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tushikamane kwa vitendo kupinga ukatili wa kijinsia - Mwanariadha

Tushikamane kwa vitendo kupinga ukatili wa kijinsia - Mwanariadha

Pakua

Violah Cheptoo au Violah Lagat ni maarufu sana sio tu nchini Kenya bali pia nje ya taifa hilo kutokana na umaarufu wake kwenye mbio za nyika au marathoni. Lakini zaidi ya hivyo, Viola anatambulika pia nje ya michezo kuwa mpeperushaji wa bendera ya kupinga ukatili wa kijinsia. Ni kwa mantiki hiyo katika siku hizi 16 za kupinga ukatili dhidi ya wanawake Assumpta Massoi wa Idhaa hii ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa alitumia fursa ya uwepo wa mwanariadha huyo hapa Marekani wakati wa mbio za Marathoni jijini New York, Marekani mwezi ulipita wa Novemba kufahamu kwa kina usuli wa harakati hizo nje ya riadha na alianza kwa kumuuliza kuhusu taasisi aliyoanzisha mwaka 2021 inayoitwa Tirop’s Angels.

Audio Credit
Leah Mushi/Assumpta Massoi
Sauti
5'48"
Photo Credit
UN News