NENO: Kifandugu
Pakua
Leo katika Jifunze Kiswahili ukumbi ni wake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania , BAKITA anafafanua maana ya neno “KIFANDUGU”. Anapochambua neno hili anapatia pia kisawe chake ambacho ni "KITOKONO."
Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
59"