Magaidi husafirisha watu na kutekeleza ukatili wa kingono, tuchukue hatua-Ban
Baraza la usalama leo limekuwa na mjadala wa ngazi ya mawaziri kuhusu usafirishaji haramu wa watu katika maeneo yenye mizozo, mada inayohusiana na kulinda amani ya kimataifa na usalama.