Wakwepa kodi wanalindwa, wafichua taarifa wanashtakiwa- Mtaalamu
Wafichua taarifa ni mashujaa wa zama za sasa na wanatekeleza majukumu yao kwa maslahi ya jamii na haki za binadamu hivyo hawapaswi kushtakiwa kwa kutoa taarifa kuhusu ukwepaji kodi. #luxleaks