Ni mtu mmoja tu kati 100 anayenusuriwa katika biashara haramu ya watu:UNODC
Ni mtu mmoja tu kati ya 100 anayenusuriwa kutoka kwenye biashara haramu ya binadamu , kwa mujibu wa afisa anehusika na mambo ya biashara ya usafirishaji haramu wa binadamu kwenye ofisi ya Umoja wa mataifa ya madawa na uhalifu UNODC.