Bunge lamwondoa madarakani Rais wa Brazil
Kufuatia kitendo cha bunge la Brazil kupiga kura kuridhia kushtakiwa kwa rais wa nchi hiyo, Dilma Rousseff, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema ametambua hatua hiyo sambamba na ile ya kuapishwa kaimu rais Michel Temer kushika madaraka hayo.