Sekta ya tumbaku tumia mitandao ya kijamii kwahitaji mpango wa kiamataifa:WHO
Matumizi ya tovuti kuchagiza uraibu kama wa sigara yametajwa kama moja ya changamoto kubwa katika juhudi za kimataifa za kupunguza uvutaji sigara wamesema wataalamu wa afya wa Umoja wa Mataifa Jumatatu.