Harakati za Fatah zimegeuza wakimbizi kuwa jasiri: Mladenov
Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa kuhusu amani ya Mashariki ya Kati, Nickolay Mladenov amezungumza huko Ramallah, wakati wa siku ya kuonyesha mshikamano na watu wa Palestina akipongeza kikao cha Saba cha kikukndi cha Fatah kwa kuimarisha mshikamano miongoni mwa wapalestina.