UM walaani mashambulio dhidi ya misikiti Babylon Iraq
Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa nchini Iraq Ján Kubiš, amelaani mashambulio yaliyofanyika dhidi ya misikiti mitatu ya Kisuni kwenye jimbo la Babylon usiku wa kuamkia leo na vitendo vingine vya ghasia.