Miaka mitano baada ya tetemeko la ardhi, MINUSTAH inaendelea kusaidia Haiti kujijenga upya
Wakati Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Haiti, MINUSTAH, umekumbuka waliokufa katika tetemeko la ardhi lililoua zaidi ya watu 200,000 tarehe 12, Januari, mwaka 2010, nchini Haiti bado changamoto zinazokumba nchi hii ni nyingi.