![Rais Jair Messias Bolsonaro wa Brazil, kabla ya kuingia kwenye ukumbi wa Baraza Kuu la UN kuhutubia. Rais Jair Messias Bolsonaro wa Brazil, kabla ya kuingia kwenye ukumbi wa Baraza Kuu la UN kuhutubia.](https://global.unitednations.entermediadb.net/assets/mediadb/services/module/asset/downloads/preset/Libraries/Production+Library/24-09-2019_NICA-823099_Brazil-Jair-Messias-Bolsonaro.jpg/image770x420cropped.jpg)
Lakini ni katika chumba namba GA-200, ambako viongozi wa dunia, kama Rais wa Brazil Jair Bolsonaro (kulia) husubiri kwa muda wakijiandaa kabla ya kupanda jukwaani na kuhutubia kutoka katika mimbari ya kipekee ya ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Picha ya UN /Eskinder Debebe
![Katibu Mkuu wa UN Antonio Guterres akirekebisha tai yake kabla ya kuingia kwenye kikao cha mabadiliko ya tabianchi 2019 Katibu Mkuu wa UN Antonio Guterres akirekebisha tai yake kabla ya kuingia kwenye kikao cha mabadiliko ya tabianchi 2019](https://global.unitednations.entermediadb.net/assets/mediadb/services/module/asset/downloads/preset/Libraries/Production+Library/24-09-2019_NICA-823028_SG-behind-scenes-tie.jpg/image770x420cropped.jpg)
Lakini ni katika chumba namba GA-200, ambako viongozi wa dunia, kama Rais wa Brazil Jair Bolsonaro (kulia) husubiri kwa muda wakijiandaa kabla ya kupanda jukwaani na kuhutubia kutoka katika mimbari ya kipekee ya ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Picha ya UN/ Cia Pak