Christian akichunguzwa macho na Dkt. Steven Yeh kutoka Chuo Kikuu cha Emory nchini Marekani. Dkt. Yen na wenzake wanahudumu kwenye kliniki ya maalum iliyoanzishwa mjini Beni, Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kusaidia kuepusha matatizo ya macho kwa manusura wa Ebola.
J.D.Kannah/WHO
Muhindo, mtoto manusura wa Ebola akifanyiwa uchunguzi wa macho na Dkt. Steven Yeh kutoka Chuo Kikuu cha Emory nchini Marekani katika kliniki maalum iliyoanzishwa mjini Beni, jimboni Kivu Kaskazini kwa ushirikiano kati ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na shirika la afya ulimwenguni, WHO na wadau wengine.
WHO/J. D. Kannah