Daktari akiwa ndani ya maabara akichunguza iwapo damu ya popo ina virusi vya ebola. Ugonjwa wa Ebola ulileta madhara makubwa nchini Sierra Leone. Na Madaktari hawa ni matokeo ya mafunzo yaliyotolewa na shirika la nishati ya atomiki duniani IAEA na shirika la chakula na kilimo duniani, FAO kwa wataalamu kutoka mataifa 7 ya Afrika kuhusu matumizi ya teknolojia ya nyuklia kubaini virusi kwa popo.
Laura Gil / IAEA