Facebook Twitter Print Email Wakiwa na kambi yao Kidal kaskazini mwa Mali, walinda amani kutoka Guinea ni askari wapatao 868. MINUSMA/Harandane Dicko Facebook Twitter Print Email Katika kikosi cha MINUSMA kinachoundwa na askari 868, wanawake ni 16. MINUSMA/Harandane Dicko Facebook Twitter Print Email Mlinda amani mwanamke kutoka Guinea akiwa kazini katika kambi ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa Kidal kaskazini mwa Mali. MINUSMA/Harandane Dicko Facebook Twitter Print Email Mlinda amani kutoka Guinea akihudumu nchini Mali hapa akiwa katika eneo la kazi. MINUSMA/Harandane Dicko Facebook Twitter Print Email Askari wa Guinea kutoka kikosi cha vilipuzi akiikagua barabara katika eneo la Kidal huko Mali. MINUSMA/Harandane Dicko Facebook Twitter Print Email Walinda amani kutoka Guinea, wanasaidia katika kutafuta na kutegua vilipuzi vilivyoachwa katika maeneo mbalimbali vikihatarisha maisha ya wananchi. MINUSMA/Harandane Dicko Facebook Twitter Print Email Askari wa MINUSMA kutoka Guinea wakiwa katika lindo. MINUSMA/Harandane Dicko Go back