Tarehe 19 Januari 2000 Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan (wa pili kulia) alikutana na msuluhishi, msuluhishi mkuu wa mzozo wa Burundi kupitia mazungumzo ya Arusha, Nelson Mandela (wa tatu kutoka kulia) kwenye makao makuu ya UN mjini New York, Marekani.
UN/Milton Grant
Mwaka 2002 wakati wa sherehe za uhuru wa Timor Mashariki, Katibu Mkuu wa UN Kofi Annan (kulia) akiwa amesimama wakati bendera ya Umoja wa Mataifa ilipokuwa inateremshwa ili kuanza shamrashamra za uhuru kwenye mji mkuu Dili. Bwana Annan alikuwa mstari wa mbele kufanikisha hatua hii.
UN /Sergey Bermeniev