Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Wakulima nchini Rwanda na juhudi za kuimarisha ardhi.
© FAO/Petterik Wiggers

Njaa yashamiri Afrika, waathirika zaidi wakiwa ni Ukanda wa Afrika Mashariki

Idadi ya watu wenye njaa barani Afrika inaendelea kuongezeka, ikichochewa na uwepo wa migogoro, mabadiliko ya tabianchi na kuzorota kwa uchumi sababu nyingine mbalimbali ikiwemo pia janga la COVID-19. Imesema ripoti iliyotolewa leo na viongozi wa mashirika matatu ya kikanda barani Afrika ambayo  yametoa wito wa kuchukua hatua zaidi juu ya mabadiliko ya mifumo ya kilimo.

Sauti
1'56"