UN na AU zadhamiria kurejesha mazungumzo kati ya pande kinzani CAR
Mkuu wa operesheni za ulinzi wa amani za Umoja wa Mataifa Jean-Pierre Lacroix yupo ziarani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR kwa lengo za kuzindua tena mashauriano kati ya serikali na vikundi vilivyojihami. Assumpta Massoi na ripoti kamili.