UN yasema wahamiaji wote wana haki ya ulinzi sawa wa haki zao zote za kibinadamu
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa pamoja na viongozi wengine wa juu wa Umoja wa Mataifa, wametoa wito kwa dunia kuhakikishia ulinzi wa haki za binadamu kwa wahamiaji.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa pamoja na viongozi wengine wa juu wa Umoja wa Mataifa, wametoa wito kwa dunia kuhakikishia ulinzi wa haki za binadamu kwa wahamiaji.
Vita vilivyodumu kwa miaka 40 sasa nchini Afghanistan vimekuwa na madhara makubwa kwa watoto ambapo kila siku husababisha watoto 9 kuuawa au kusalia na ulemavu, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF.
Tatizo la wakimbizi ni jukumu la kila mtu sio wakimbizi au nchi zinazowahifadhi pekee, kwani nimejifunza ukarimu sio lazima uendane na utajiri.
Chupa na hasa la plastiki imekuwa moja ya tatizo kubwa la uchafuzi wa mazingira duniani na juhudi zinafanyika katika ngazi mbalimbali kuhakikisha taka hizo haziendeleo kuzagaa au kuishia baharini.
Mkutano wa siku tatu wa dunia nzima wenye lengo la kubadilisha jinsi dunia inavyoshughulikia masuala ya wakimbizi unaanza leo mjini Geneva, Uswisi.
Mkutano wa kimataifa wa kujadili mkataba wa kupambana na ufisadi umeanza leo Abu Dhabi huku ikielezwa kwamba kumekuwa na hatua zilizopigwa katika vita dhidi ya chhangamoto hiyo ambayo sio tu ni adui wa haki bali pia adui wa maendeleo.
Zaidi ya nchi 1 kati ya 3 za kipato cha wastani na kipato cha chini zinakabiliwa na changamoto kubwa mbili za kiafya , utipwatiwa na lishe dunia kutokana na mabadiliko katika mifumo ya chakula imesema ripoti mpya ya shirika la afya duniani WHO iliyochapishwa leo kwenye jarida la kimataifa la afya
Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Arnold Kayanda anakuletea
- Ufisadi au rushwa imeelezwa katika mkutano wa kimataifa ulioanza leo huko Abu Dhabi kuwa sio tu ni adui wa haki bali adui wa maendeleo na lazima ikomeshwe .
Neno la Wiki hii leo mtaalam wetu mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA Onni Sigalla anachambua maana ya neno “MATUMBAWE”
Nchini Ujerumani mafunzo mahsusi yanayotolewa na kampuni za kijerumani kwa wakimbizi yameleta siyo tu matumaini kwa wakimbizi bali pia kusaidia kujenga utangamano na jamii zinazowazunguka.