Hofu yatanda juu ya uchafuzi wa Msitu Bugoma, Uganda
Kwa mujibu wa shirika la mpango wa mazingira la Umoja wa Mataifa UNEP misitu ni rasilimali adhimu katika suala zima la uhifadhi wa mazingira na kudhibiti mabadiliko ya tabianchi.
Kwa mujibu wa shirika la mpango wa mazingira la Umoja wa Mataifa UNEP misitu ni rasilimali adhimu katika suala zima la uhifadhi wa mazingira na kudhibiti mabadiliko ya tabianchi.
Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kwa Yemen, Martin Griffiths, amekaribisha hatua ya kundi la Ansar Allah nchini humo ya kuwaachilia huru wafungwa.
Waziri wa mambo ya nje wa Burundi Ezechiel Nibigira ameiambia Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa kuwa anakusudia baadaye hii leo kuuleza mjadala mkuu wa mkutano wa 74 wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA74 pamoja na mambo mengine, kuhusu hatua za maendeleo ambazo Burundi imepiga na pia kui
Mitandao ya kijamii ina hatari na athri kubwa zaidi kwa vijana inapotumiwa vibaya amesema balozi mwema wa wakfu wa Umoja wa Mataifa au UN Foundation Philip Ogola.
Maandalizi ya mwishomwisho yanaendelea kwenye kituo cha muda cha Gashora nchini Rwanda ambako kundi la kwanza la wakimbizi na waomba hifadhi lilitarajiwa kuwasiku juma hili.
Katibu Mkuu wa kamati ya biashara na maendeleo ya Umoja wa Mataifa, UNCTAD Dkt. Mukhisa Kituyi amesema teknolojia ya kuwa na fedha kwenye mtandao wa simu hadi mashinani itakuwa na maana zaidi pale watu watatumia fedha hizo kujiongezea kipato.
Mjadala Mkuu wa mkutano wa 74 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA74, ukiingia siku ya nne hii leo kwenye makao makuu ya umoja huo jijini New York, Marekani, Tanzania imesema imetenga asilimia 32 ya eneo la nchi kama hifadhi ya misitu kama njia mojawapo ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianch
Sasa ni mada kwa kina tukimulika kile ambacho Kenya, Burundi na Tanzia zimewasilisha mbele ya viongozi w anchi 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa wakati wiki hii ya mjadala mkuu kwa lengo la kufanikisha ajenda ya maendeleo endelevu SDGs sambamba na amani, usalama na haki za binadamu.
Je wafahamu maana ya neno 'Kamsa?' Basi hii leo Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, Onni Sigalla anafafanua kwa kina akisema kuwa neno hilo maana yake ni king'ora maalum. Hebu msikilize kwa makini.
Tumefika hapa kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa kuungana na nchi wanachama kuelezea ambayo Kenya imeyafanya katika kuhakikisha inaendana na vipaumbele vya mkutano huu wa Baraza Kuu la Umoja huo UNGA74 ikiwemo mabadiliko ya tabianchi, ujumuishwaji na ushirikiano wa kuhakisha utimiza