Neno la Wiki - Mlugaluga
Na sasa ni neno la wiki ambapo leo mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili Tanzania, BAKITA akichambua neno "Mlugaluga".
Na sasa ni neno la wiki ambapo leo mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili Tanzania, BAKITA akichambua neno "Mlugaluga".
Kuelekea siku ya UKIMWI duniani tarehe Mosi mwezi ujao wa Desemba, Doreen Moraa Moracha, msichana kutoka Kenya ambaye anaishi na virusi vya UKIMWI amekuwa changamoto kubwa katika kumaliza unyanyapaa dhidi ya watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi au VVU. Doreen amekuwa akifanya hivyo kupitia mi
Umoja wa Mataifa umesema jamii ikiwa ni pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali, asasi za kiraia na wanaharakati wana mchango mkubwa katika vita dhidi ya UKIMWI.
Shirika la mpango wa chakula duniani, WFP limesitisha kwa muda usambazaji wa misaada ya kibinadamu huko Beni, jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kutokana na mashambulizi yaliyoripotiwa kwenye maeneo yenye mlipuko wa Ebola.
Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na wasichana zinaendelea kuadhimishwa kote duniani. Ukatili ambao Umoja wa Mataifa unasema sio tu unaathiri mamilioni ya kundi hilo na kukiuka haki zao za binadamu bali pia unaacha jeraha lisilokwisha katika akili na maisha ya wa
Katika mapambano dhidi ya Virusi Vya UKIMWI, VVU na UKIMWI nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, vikundi vya kijamii vinavyoundwa na watu wanaoishi na VVU vinasaidia kusambaza dawa katika maeneo ambayo yana ugumu wa kufikiwa kutokana na usalama mdogo na uhaba wa huduma za kiafya, juhudi ambazo zimewa
Muungano wa Afrika AU na shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO wamesema wanaimarisha ushirikiano wao ili kuhakikisha uchumi wa kilimo barani Afrika unaleta tija kwa mamilioni ya watu wa bara hilo.
Siku 16 za kupinga ukatili dhidi ya wanawake zikiendelea kuangaziwa duniani, nchini Sudan Kusini nako Umoja wa Mataifa umetumia kipindi hiki kutoa fursa kwa wanawake kupaza sauti zao huku ukimulika pia hatua za kuwawezesha kiuchumi wanawake hao. John Kibego na taarifa kamili.
Mabadiliko chanya katika jamii yanaweza kuanzishwa na mtu mmoja tu, hiyo ndiyo imani ya msichana Jonitha Nitoya Joram muhitimu wa Chuo Kikuu ambaye ameamua kuutumia muda wake wa ziada kuwaelimisha wasichana wenzake na wanawake wafanyabiashara nchini Tanzania ambao hawana elimu ya ujasiriamali.