Baadhi ya vijana Tanzania bado wanashindwa kuhusisha SDGs na maisha yao- Hussein Melele
Vijana wengi nchini Tanzania wanaelewa kuhusu malengo ya maendeleo endelevu SDGs lakini si wengi wanaofahamu ni kwa namna gani malengo hayo yaliyopitishwa mwaka 2015 yanayahusiana moja kwa moja maisha yao.