WFP yapokea msaada wa $Mil 5.4 kusaidia wakimbizi wa Rohingya
Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP limepokea msaada wa dola milioni 5.4 kutoka serikali ya Japan kwa ajili ya kuwasaidia wakimbizi wa Rhohingya ambao wanakabiliwa na ufinyu wa ufadhili kwa ajili ya chakula na mahitaji mengine muhimu.