Itachukua miongo kadhaa na kiwango kikubwa cha fedha kurejesha uchumi wa Gaza
Vita huko Gaza, Mashariki ya Kati imesababisha kiwango kikubwa cha kutwama kwa uchumi ambao utahitaji mabilioni ya dola na mionog kadhaa kuurejesha katika hali iliyokuwa kabla ya kuanza kwa vita hiyo Oktoba 7 mwaka jana wa 2023.