Mashirika 5 ya UN yatoa kauli kuhusu misaada iliyoanza kuingia Gaza
Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la mpango wa maendeleo UNDP, la idadi ya watu na afya ya uzazi UNFPA, la kuhudumia watoto UNICEF, la mpango wa chakula WFP na la afya duniani WHO leo wametoa tarifa ya pamoja kuhusu kuhusu msaada wa kibinadamu alianza kuingia Gaza leo.