UNDP yapongeza COP15 kwa kupitisha makubaliano mapya ya bayonuai kwa ajili ya kulinda mazingira asilia
Ikiwa leo ni tamati ya mkutano wa 15 wa nchi wanachama wa mkataba wa kimataifa kuhusu bayonuai, COP15, huko Montréal, Canada, shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa maendeleo duniani, UNDP, limekaribisha makubali