Umejigeuza Pweza Kujipalia makaa
Karibu kujifunza lugha ya Kiswahili ambapo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA anafafanua maana ya methali Umejigeuza Pweza kujipalia makaa.
Karibu kujifunza lugha ya Kiswahili ambapo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA anafafanua maana ya methali Umejigeuza Pweza kujipalia makaa.
Karibu kusikiliza jarida hii leo ambapo utapata fursa ya kusikiliza makala ya athari za Mafuriko kwenye sekta ya elimu nchini Uganda na kujifunza kiswahili, leo ufafanuzo wa methali Umejigeuza Pweza kujipalia Makaa umetolewa
Serikali nchini Tanzania imeshauriwa kuboresha Sekretarieti ya mfumo wa uombaji ajira kwa njia ya mtandao maarufu kama Ajira Portal ili uweze kuwatambua watu wenye ulemavu na hivyo kumiza matakwa ya sera ya ajira ambayo ina kipengele mahususi kinacholenga kuwajumuisha watu wenye ulemavu. Us
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF kwa msaada kutoka eneo la mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels, limeimarisha huduma za usafi na kujisafi WASH, kwenye shule moja mjini Kinshasa na hivyo kuwezesha wanafunzi kujifu
Ziara maalum iliyofanywa na Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa misaada ya Kibinadamu nchini Sudan Kusini, Sara Beysolow Nyanti, katika eneo la Malakal, nchini humo imebadili mtazamo wa aina ya misaada inayohitajika na wananchi walioathiriwa na ghasia na majanga ya asili.
Katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya wasichana katika tasnia ya Habari na teknolojia ya mawasiliano ICT muungano wa kimataifa wa mawasiliano ITU umesema fursa na usalama mtandaoni ambayo ndio maudhui ya siku ya mwaka huu ni ufunguo wa kukiingiza kizazi kijacho cha wasichana katika Habari na te
Jaridani Alhamisi Aprili 28, 2022 na Leah Mushi
-Wasichana wanachohitaji ili kukumbatia ICT ni fursa na usalama mtandaoni: ITU
-UNMISS kubadili mbinu za utoaji wa misaada ya kibinadamu Malakal
-UNICEF DRC yawezesha wanafunzi kujivunia shule yao
Jaridani Aprili 27, 2022 na Leah Mushi kwanza ni habari kwa ufupi-
Jaridani Jumanne Aprili 26, 2022 na Leah Mushi
-Usimamizi wa data ni muhimu ili biashara mtandao inufaishe wote- Naibu Katibu Mkuu Amina J. Mohammed.
Tani bilioni 50 za mchanga na changarawe hutumika kila mwaka duniani:UNEP