Neno la Wiki - Msagaliwa
Hii leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunakwenda nchini Tanzania katika Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA ambako Mhariri Mwandamizi Onni Sigalla anafafanua maana ya neno Msagaliwa.
Hii leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunakwenda nchini Tanzania katika Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA ambako Mhariri Mwandamizi Onni Sigalla anafafanua maana ya neno Msagaliwa.
Hii leo jaridani Assumpta Massoi pamoja na Habari kwa ufupi kuhusu Ndui ya Nyani au Monkeypox anamulika pia kiswahili nchini Burundi. Je wafahamu miiko iliyokwamisha kiswahili kuchanua nchini Burundi?
Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu bahari ukiwa katika siku ya tatu hii leo huko Lisbon nchini Ureno Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO limesema ongezeko kubwa la ufugaji wa samaki sambamba na uvuvi wa kimataifa umesababisha mazao ya vyakula vya majini kuwa kwenye rekodi ya juu
Moja ya malengo ya Mkutano wa bahari unaoendelea Lisbon, Ureno, ni kujadili namna ambavyo dunia inaweza kuendelea kunufaika kiuchumi kutokana na uwepo wa bahari. Ajenda hiyo inakuwa muhimu kwa kuwa tayari ni dhahiri shairi kuwa baharí imekuwa mkombozi wa kiuchumi kwa watu wengi duniani.
Karibu kusikiliza jarida likiletwa kwako na Assumpa Massoi akiangazia
Karibu kusikiliza jarida ambapo wakati mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu bahari ukiendelea mjini Lisbon, Ureno kujadili suluhu za kukabiliana na changamoto za bahari tunakuleta mada kwa kina ikimulika eneo la Vanga Kilifi huko Kenya wanachi wamepata moja ya suluhu kubwa ambayo ni kuvuna na
Mkutano wa pili wa kimataifa kuhusu bahari unaendelea huko Lisbon, Ureno. Mkutano huu umeanza tarehe 27 mwezi huu wa Juni na utamalizika tarehe 1 Julai 2022.
Wakati mkutano wa dunia kuhusu bahari umeanza leo huko Lisbon nchini ureno kujadili namna ya kuhakikisha bahari inalindwa ili jamii zinufaike na uchumi utokanao na shughuli za kwenye bahari au uchumi wa buluu sambamba na faida nyingine nyingi, tunaelekea kijiji cha Kibuyuni, eneo la Shimoni, kaun
Tukiwa bado kwenye mkutano huo wa Umoja wa Mataifa kuhusu bahari, mbali ya kikao cha ngazi ya juu cha viongozi makundi mbalimbali yalianza kukutana mwishoni mwa wiki likiwemo kongamano la vijana.