Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Makala Maalum

Kipepeo aina ya monarch hukusanya nekta kutoka kwenye mmea wa mbigili (thistle plant).
Unsplash/Sean Stratton

Bioanuwai: Ni nini, na tunawezaje kuilinda?

Umoja wa Mataifa na wadau wake ulimwenguni wanakabiliana na upotevu mkubwa wa wanyama na mimea, tarehe 23 Januari wanakutana jijini Nairobi, kenya kujadili jinsi ya kuepuka upotevu huo, katika mkutano mkuu ambao utaangazia bioanuwai ni nini, na jinsi gani Umoja wa Mataifa, unaweza kusaidia juhudi za kuwezesha asili kuishi na kustawi.

Mvulana akitembea kwenye vifusi vya nyumba zilizoharibiwa katika mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.
© UNICEF/Eyad El Baba

Mwaka 2024 tishio kwa watoto: Ripoti ya UNICEF

Duniani kote mwaka 2024, watoto wanatarajiwa kuona kuongezeka kwa matukio ya ghasia, vita na matatizo ya kiuchumi, linasema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF), katika utafiti uliotolewa siku ya Jumatatu ya Januari 15, 2024.