MAHOJIANO: Matumaini yaongezeka kwa UN kuijaza Gaza kwa chakula, licha ya hofu ya uvamizi wa Rafah
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa huko Gaza unaotaka kutalifurika eneo hilo kwa chakula na kuzuia njaa, umesonga mbele wiki hii kutokana na ahadi ya umma wa Israeli ya kuongeza mtiririko wa misaada, licha ya ishara ya leo Jumapili kwamba uvamizi unaohofiwa wa Rafah unakaribia.