Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Mwanahabari wa Redio Miraya Sudan Kusini akizungumza na mtoto
UNMISS/Isaac Billy

COVID-19 yatishia uwepo wa vyombo vya Habari- Guterres

Kuporomoka kwa uwezo wa fedha kwa mashirika mengi ya umma ya vyombo vya habari duniani kote ni moja ya athari mbaya zaidi za janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres hii leo katka tukio lililofanyika na kuungwa mkono na Umoja wa Mataifa kwa lengo la kupigia chepuo sekta hiyo kuelea siku ya uhuru wa vyombo vya Habari duniani tarehe 3 mwezi ujao wa Mei.