Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno La Wiki

UN News Kiswahili

Jungu kuu halikosi ukoko

Ijumaa ya leo mchambuzi wetu wa neno la wiki ni Ken Walibora ambaye ni mwana riwaya na mwanachama wa Chama cha  Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA. Anachambua methalo isemayo, 'Jungu kuu halikosi ukoko'. Kwa mujibu wa Walibora jungu kuu ni wazee na kawaida hawakosi maarifa, pata uchambuzi kamili hapa.

Sauti
58"
UN News Kiswahili

Joka la mdimu hulinda watundao

Ijumaa ya leo mchambuzi wetu wa neno la wiki ni Ken Walibora ambaye ni mwana riwaya na mwanachama wa Chama cha  Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA. Anachambua methalo isemayo "joka la mdimu hulinda watundao." Je wewe ni joka la mdimu? Walibora anasema kuwa joka la mdimu ni wale walindao vitu ambavyo mwisho wa siku wala hawawezi kuvitumia. Kwa ufafanuzi wa kina ungana naye.

Sauti
1'3"
UN News Kiswahili

Neno na Wiki- HABA na Onni Sigalla

Katika neno la wiki hii leo, mchambuzi wetu Onni Sigalla ambaye ni Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anachambua neno HABA. Anasema neno hilo mara nyingi huchanganywa na SI na kusomeka kuwa neno moja SIHABA. Hivyo anasema katu si hivyo. Si haba. Anaenda mbali akifafanua visawe vya neno hilo

Sauti
49"
UN News Kiswahili

22 Juni 2018

Katika neno la wiki hii leo mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA anafafanua neno “Budi”,  Ungana naye...

Sauti
44"
UN News Kiswahili

Neno la Wiki: Uzio

Katika neno la wiki hii leo mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA anafafanua neno “Uzio”,  Ungana naye...

Sauti
1'2"
UN News Kiswahili

Neno la Wiki: UPAKO

Katika neno la wiki hii leo mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA anafafanua neno “Upako”,  Ungana naye...

Sauti
56"