Neno la wiki:Ukoo na Onn Sigalla
Katika Neno la wiki la leo Ijumaa 17-08-2018 Onn Sigalla kutoka baraza la Kiswahili Tanzania BAKITA , anachambua neno Ukoo.
Katika Neno la wiki la leo Ijumaa 17-08-2018 Onn Sigalla kutoka baraza la Kiswahili Tanzania BAKITA , anachambua neno Ukoo.
Mchambuzi wetu Ken Walibora, mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya anafafanua methali isemayo Kutoa ni moyo usambe ni utajiri.
Katika Neno la wiki la leo Ijumaa 17-08-2018 Onn Sigalla kutoka baraza la Kiswahili Tanzania BAKITA , anachambua neno Shinda.
Katika Neno la wiki tuko nae Ken Waibora, mwana riwaya na mwanachama wa chama cha kiswahili cha kitaifa Kenya ,CHAKITA akichambua methali, Kitanda usichokillia hujui kunguni wake.
Katika neno la wiki hii leo, mchambuzi wetu Onni Sigalla ambaye ni Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, anachambua neno Ngamia. Anasema neno hilo lina zaidi ya neno moja ila maana moja tu ndio inajulikana.