Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno La Wiki

UN News Kiswahili

Neno la Wiki-Matumizi ya neno AFADHALI.

Aida Mutenyo, mwenyekiti wa idara za Kiswahili katika vyuo vikuu Afrika Mashariki anachambua matumizi ya neno TAFADHALI.  Anasema kuwa nchini Uganda neno hili ni moja ya maneno yanayowasumbua wazungumzaji wa kiswahili kwani wanalichanganya na neno AFADHALI.

Sauti
1'48"
UN News Kiswahili

Neno La Wiki- Asilani

Hii leo katika Neno la wiki, mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa  baraza la  Kiswahili la Taifa nchini Tanzania-BAKITA na  anafafanua matumizi ya neno Asilani.

Audio Duration
55"