Kauli ya ‘usifanye hiki usifanye kile’ inadidimiza ndoto za wasichana – Frida Amani
Makala hii inakupeleka Nairobi, Kenya ambako Priscilla Lecomte wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Mratibu wa hatua dhidi ya majanga ya tabianchi na El Niño anazungumza na Mwanamuziki Frida Amani wa Tanzania.