20 Disemba
Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa leo , Grace Kaneiya anakuletea
-Uchaguzi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC waahirishwa kwa wiki moja zaidi, huku mkuu wa mahakama ya ICC akionya uhalifu dhidi ya ubinadamu kuwajibishwa
-FAO yawainua wakulima wadogowadogo nchini Tanzania kwa kuwapatia stadi za kilimo
-Msichana mkimbizi kutoka kambi ya Dadaab nchini Kenya aoongoza kwa alama za juu katika kuhitimu elimu ya msingi
-Makala leo inamulika afya kwa wote nchini Burundi